Inapakia

Swali Tunaomba nini katika ombi la pili? la Katekisimo Kubwa ya Westminster

Swali Tunaomba nini katika ombi la pili? la Katekisimo Kubwa ya Westminster - jibu pamoja na marejeo ya Biblia
Sw. 191. Tunaomba nini katika ombi la pili?
J. Katika ombi la pili (linalosema: Ufalme wako uje), tukitambua kwamba sisi na wanadamu wote kwa asili tuko chini ya utawala wa dhambi na Shetani, tunaomba kwamba ufalme wa dhambi na Shetani, uharibiwe, na injili ienezwe ulimwenguni kote, kwamba Wayahudi waitwe, na wingi wa watu wa mataifa yote utimie; kwamba kanisa lijaliwe maofisa wote na maagizo ya injili, lisafishwe kutoka ufisadi, lilindwe na litegemezwe na mamlaka ya kiraia; kwamba maagizo ya Kristo yasimamiwe kwa usafi, na yawe na ufanisi kwa uongofu wa wale ambao bado wako katika dhambi zao na kwa kuthibitisha, kufariji na kujenga waliogeuzwa tayari; kwamba Kristo atawale hapa moyoni mwetu, kwamba aharakishe kuja kwake mara ya pili na kutawala kwetu naye milele na kwamba yeye apende kutumia ufalme wa nguvu zake ulimwenguni kote, kwa kadiri inavyofaa malengo hayo.
  • Mathayo 6:10.
  • Waefeso 2:2,3.
  • Zaburi 68:1,18.
  • Ufunuo 12:10,11.
  • 2 Wathesalonike 3:1.
  • Warumi 10:1.
  • Yohana 17:9,20.
  • Warumi 11:25,26.
  • Zaburi 67.
  • Mathayo 9:38.
  • 2 Wathesalonike 3:1.
  • Malaki 1:11.
  • Sefania 3:9.
  • 1 Timotheo 2:1,2.
  • Matendo 4:29,30.
  • Waefeso 6:18-20.
  • Warumi 15:29,30,32.
  • 2 Wathesalonike 1:11.
  • 2 Wathesalonike 2:16,17.
  • Waefeso 3:14-20.
  • Ufunuo 22:20.
  • Isaya 64:1,2.
  • Ufunuo 4:8-11.

Njia za Neema na Ibada

Swali Tunaomba nini katika ombi la pili? la Katekisimo Kubwa ya Westminster

Swali Tunaomba nini katika ombi la pili? la Katekisimo Kubwa ya Westminster - jibu pamoja na marejeo ya Biblia
  1. Je! mtu yeyote anaweza kuzishika kamili amri za Mungu?
  2. Je! makosa yote ya sheria yanauchafu sawa mbele za Mungu?
  3. Je! ni mazingira gani yanayozidisha ambayo hufanya baadhi ya dhambi kuwa za kuchukiza zaidi kuliko nyingine?
  4. Kila dhambi inastahili nini mbele za Mungu?
  5. Mungu anataka nini kutoka kwetu ili tuepuke hasira na laana tulizostahili kwa makosa ya sheria?
  6. Je! ni njia gani za nje ambazo kwa njia yake Kristo anawasilisha kwetu faida za maombezi yake?
  7. Neno linafanywaje lenye ufanisi kwa wokovu?
  8. Je! watu wote wanapaswa kusoma neno la Mungu?
  9. Neno la Mungu linapaswa kusomwaje?
  10. Neno la Mungu linapaswa kuhubiriwa na nani?
  11. Neno la Mungu linapaswa kuhubiriwaje na wale walioitwa kufanya hivyo?
  12. Ni nini kinachohitajika kwa wale wanaosikia neno likihubiriwa?
  13. Sakramenti zinakuaje njia zenye ufanisi za wokovu?
  14. Sakramenti ni nini?
  15. Sehemu za sakramenti ni zipi?
  16. Kristo alianzisha sakramenti ngapi katika Kanisa lake chini ya Agano Jipya?
  17. Ubatizo ni nini?
  18. Ubatizo unapaswa kutolewa kwa nani?
  19. Tunapaswaje kufaidika na ubatizo wetu?
  20. Meza ya Bwana ni nini?
  21. Kristo aliamuru mkate na divai vipewaje katika sakramenti ya Meza ya Bwana?
  22. Wale wanaoshiriki kwa staha Meza ya Bwana hulishaje mwili na damu ya Kristo?
  23. Wale wanaopokea sakramenti ya Meza ya Bwana wanapaswa kujiandaa vipi kabla ya kuja kwake?
  24. Je! mtu anayetilia shaka kama yuko katika Kristo au kama amejiandaa anaweza kukaribia Meza ya Bwana?
  25. Je! mtu yeyote anayekiri kuwa na tamaa ya kukaribia Meza ya Bwana anaweza kukatazwa?
  26. Ni nini kinachohitajika kwa wale wanaopokea sakramenti ya Meza ya Bwana wakati wa usimamizi wake?
  27. Wajibu wa Wakristo baada ya kupokea sakramenti ya Meza ya Bwana ni upi?
  28. Ubatizo na Meza ya Bwana zinafanana katika nini?
  29. Ubatizo na Meza ya Bwana zinatofautiana katika nini?
  30. Sala ni nini?
  31. Je! tunapaswa kumwomba Mungu tu?
  32. Kuomba kwa jina la Kristo ni nini?
  33. Kwa nini tunapaswa kuomba kwa jina la Kristo?
  34. Je! Roho Mtakatifu anatusaidiaje kuomba?
  35. Tunapaswa kuomba kwa ajili ya nani?
  36. Tunapaswa kuomba kwa ajili ya mambo gani?
  37. Tunapaswa kuombaje?
  38. Mungu ametoa kanuni gani ya kutuongoza katika wajibu wa sala?
  39. Sala ya Bwana inapaswa kutumiwaje?
  40. Sala ya Bwana ina sehemu ngapi?
  41. Utangulizi wa Sala ya Bwana unatufundisha nini?
  42. Tunaomba nini katika ombi la kwanza?
  43. Tunaomba nini katika ombi la pili?
  44. Tunaomba nini katika ombi la tatu?
  45. Tunaomba nini katika ombi la nne?
  46. Tunaomba nini katika ombi la tano?
  47. Tunaomba nini katika ombi la sita?
  48. Mwisho wa Sala ya Bwana unatufundisha nini?